Tathmini ya Kamusi Tano ya Kiswahili

Arvi Hurskainen

Research output: Contribution to journalArticleScientificpeer-review

Abstract

Makala hii inaeleza mbinu za kikompyuta za kutathmini kamusi, na inatoa pia matokeo ya tathmini ya kamusi tano za Kiswahili. Kamusi hizo ni: Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI), Kamusi ya Maana na Matumizi (OUP), Modern Swahili - Modern English Dictionary (MS-tryck), Kamusi ya Kiswahili - Kiingereza (TUKI), na Swahili - Suomi - Swahili -sanakirja (SKS). SALAMA (Swahili Language Manager), ambayo ilitumiwa katika tathimini hii, huweza kuainisha maneno ya Kiswahili na kuteua lemma za maneno katika matini. Ufanisi wa kila kamusi ulitathminiwa kwa kutumia aina tatu za matini, na matokeo yametolewa kwa njia ya matarakimu na jedwali. Tathmini inaonyesha uzuri na upungufu wa kila kamusi na kuleta mwongozo juu ya kurekebisha kamusi hizo.
Translated title of the contributionComputer Evaluation of Five Swahili Dictionaries
Original languageOther/Unknown
JournalNordic Journal of African Studies
Pages (from-to)283 - 300
Number of pages17
ISSN1459-9465
Publication statusPublished - 2002
MoE publication typeA1 Journal article-refereed

Cite this